Cha Kutumaini Sina, Ila damu yake Bwana,

Cha Kutumaini Sina, Ila damu yake Bwana,

  1. Cha kutumaini sina, Ila damu yake Bwana,

Sina wema wa kutosha, Dhambi zangu kuziosha,

Kwake Yesu nasimama,

Ndiye Mwamba: ni salama

Ndiye Mwamba: ni salama

  1. Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu,

Mawimbi yakinipiga, Nguvu zake ndiyo nanga.

Kwake Yesu nasimama,

Ndiye Mwamba: ni salama

Ndiye Mwamba: ni salama

  1. Damu yake na sadaka, Nategemea daima,

Yote chini yakiisha, Mwokozi atanitosha.

Kwake Yesu nasimama,

Ndiye Mwamba: ni salama

Ndiye Mwamba: ni salama

  1. Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani,

Nikivikwa haki yake, Sina hofu mbele zake.

Kwake Yesu nasimama,

Ndiye Mwamba: ni salama

Ndiye Mwamba: ni salama

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

*


*

Choose a Rating

You may use these HTML tags and attributes: <a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>